Nandy – Yuda Lyrics

Nandy – Yuda Lyrics

(Kimambo on the Beat)

Nimemyosha wangu Yuda
Vyake vitamu najipakulia
Kungwi nimefundo
Wake ma ex ndo wanaumia

Walisema limevunda
Sasa jikoni ndo linanukia
Ye ndo wangu kiti
Tena hachoki nikimkalia

Na tena siku hizi nanenepa nanawiri
Yamenoga mapenzi na yameshamiri
Anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri
Nyumbani kumenoga huniponza mwili

Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie
Tunacheza kibaba mama, kibaba mama
Wakienda vitani sisi tuko nyumbani
Aniteach inama inama, inama inama

Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao

Kanipa sikio ananisikiliza
Malumbano ndani hana
Nimepitisha fagio na hawezi kuniliza
Mashindano ndani hana
Nimefundishwa na mama, kumlea bwana
Akitakaga nyama, nampaga na tena

Ananilete chumbani, nikoleze wangu hunnie
Tunacheza kibaba mama, kibaba mama
Wakienda vitani sisi tuko nyumbani
Aniteach inama inama, inama inama

Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao
Naziwaume roho zao

YouTube video